Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mawaziri,
pamoja na viongozi wengine wa mkoa wa Shinyanga akiweka jiwe la msingi
ujenzi wa Kiwanda cha Nafaka, Vinywaji na Maziwa (Kom Limited) Kahama
mkoani Shinyanga leo tarehe 28 Januari 2021. Kiwanda hicho kinatarajiwa
kuanza kufanya kazi Mwezi Julai mwaka huu.

Comments
Post a Comment