Mgombea wa CCM, Ndugu Mashimba Ndakiameshinda Ubunge katika Jimbo la Maswa Magharibi baada ya kupata kura 28,104 akifuatiwa na Caslida J. Kamali (CHADEMA) aliyepata kura 8,643 na Lydia Mbuke (ADA-TADEA) kura 1,931. Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Maswa Mashariki na Maswa Magharibi, Dkt Fredrick Sagamiko amemtangaza ,Mashimba Ndaki kuwa Mbunge wa Maswa Magharibi kwa kipindi cha miaka mitano 2020-2025
Comments
Post a Comment