Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa upande wa Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi

Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa upande wa Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi akizungumza kuwashukuru Wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM NEC mara baada ya kuchaguliwa katika mkutano huo uliofanyika katika Makao Makuu ya CCM White House jijini Dodoma

Comments