Waziri
wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango(kulia) akiwa katika mazungumzo
na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Mashimba Ndaki, baada ya
waziri huyo kuwasilisha bungeni taarifa ya hali ya uchumi wa taifa kwa
mwaka 2019 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2020/21, jijini
Dodoma leo.
@bunge.tanzania
@msemajimkuuwaserikali
@gersonmsigwa
@bunge.tanzania
@msemajimkuuwaserikali
@gersonmsigwa
Comments
Post a Comment