Mbunge Mashimba Ndaki ahudhuria mahafali ya Kidato cha Nne Pia Na kusimamia na kufuatilia utendaji kazi wa TASAF Jimboni.
Mheshimiwa Mashimba Ndaki akimbembeleza mtoto wa mama mmoja katika kijiji cha Nyashimba ili kuruhusu mama huyu kupokea pesa zake za TASAF katika Jimbo la Maswa Magharibi.
Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi, Mkoani Simiyu, Mheshimiwa Mashimba Ndaki akiwapongeza wanafunzi wa kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari ya Badi wanaotarajiwa kuhitimu masomo.
Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi, Mkoani Simiyu, Mheshimiwa Mashimba Ndaki akiwapongeza wanafunzi wa kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari ya Badi wanaotarajiwa kuhitimu masomo.


Comments
Post a Comment