(Pichani) Wa nne Kulia ni Mhe. Mashimba Ndaki katika uhamasishaji vijijini.
(Pichani) Ni Ngoma ya pachanga ni moja ya ngoma zinazotumika Jimboni kuhamasisha na kuchochea maendeleo.
(Pichani) Ni Mhe. Mashimba Ndaki akiwa Bungeni kwenye semina mojawapo juu ufanya kazi wa Mabunge ya Afrika. Ni moja wapo ya mikakati ya mbunge kuhakikisha Jimbo La Maswa magharibi linapata fursa ya Kimaendeleo.



Comments
Post a Comment