RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC LEO MJINI DODOMA KUPATA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA CCM
Mwenyekiti
wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akiendesha kikao cha Halmashauri
Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la
White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya
walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali.
Kulia kwake ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohammed
Shein.
Mwenyekiti
wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya
Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White
House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba
kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali. Kushoto ni
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein. na kulia ni
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana


Comments
Post a Comment