HATIMAYE NAPE ALIWEKA HADHARANI ORODHA YA MAJINA YA AMBAO KUPITIA VIKAO HIVYO CCM IMEWATEUA KUGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI WA MAJIMBO NA VITI MAALUM KATIKA UCHAGUZI WA OKTOBA, MWAKA 2015

Akizungumza na waandishi wa habari leo  baada ya kumalizika kwa kikao cha halmashauri kuu ya CCM (NEC) katibu wa NEC Itikadi na Uenezi ndugu Nape NNauye amesema vikao vilivyoanza na Kamati ya Usalama na Maadili na Kamati Kuu, vilikuwa virefu lakini vyenye mafanikio makubwa kwa sababu ya kujadili kwa umahiri mkubwa majina 2721 ya wanachama wote walioomba ridhaa ya kugombea Ubunge, Uwakilishi na Viti maalum.


Comments